Analyse @EceJay's tweets
@EceJay
| 807,271 followers
Tulikua too slow, hatukua na mipango, tulimezwa kila idara... Wakati mwengine mie wa kwenye sofa nlikua na uharaka na mipango na maamuzi kuliko wachezaji wa team yangu. I pray kilichotokea leo hakitatokea Dar maana sitaweza kujibeba. Moyo mmoja, lengo moja na #NguvuMoja pls!