Analyse @TibaFasta's tweets
@TibaFasta
| 22,415 followers
Kucheka hupunguza homoni za mkazo (stress) na kuongeza seli za kinga ya mwili hivyo kuongeza kinga dhidi ya maradhi. Kucheka pia huchochea utokezwaji wa endorphins kemikali inayomfanya mtu kujisikia vizuri na kupunguza maumivu yoyote aliyo nayo mtu kwa muda mfupi. #TibaFasta https://t.co/kUI9qt9V34