Analyse @Nipashetz's tweets
@Nipashetz
| 204,262 followers
#HABARI MBUNGE wa Ilala Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali. https://t.co/OL8xQrhuwJ